HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, March 11, 2010

Huyu Dogo Anaibip Taifod Nini??

huyu mtoto anachezea maji machafu yapitayo katika kimfereji kidogo kitokacho ndani ya hiyo nyumba,ambacho kimetengenezwa kiujanja ujanja ili kupeleka maji hayo machafu katika mtaro mkubwa.kitu ambacho ni hatari sana kwa afya ya mtoto huyu.sasa sijui wale maBwana nanihii huwaga hakatizagi huku??

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad