
hawa jamaa ndio wanaofanya shughuli ya kulisafisha jiji kwa kuweza kukusanya taka taka kutoka katika maeneo ya makazi ya watu na ya biashara na kuyapeleka sehemu husika,hapa wanafanya kazi ya kuzipanga taka hizo kwa kuziweka katika mifuko mikubwa tayari kwa kuzisafirisha kwenda mahala husika.
No comments:
Post a Comment