HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, February 18, 2010

Maandalizi Ya Sikukuu Ya Maulid

mitaa mingi ya Jijini na hasa ile ya katikati Jini,imeshaanza kufanya maandalizi ya sikukuu ya Maulid ambayo inasemekana kuwa itakuwa tarehe 27/02/2010.ambapo Waislam woote Duniani huiadhimisha siku hiyo kama ni siku ya Kuzaliwa kwa Mtume Mohamad S.A.W.siku hiyo huadhimishwa kila mwaka kulingana na tarehe za kiarabu.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad