HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, July 9, 2009

Cheka Kiaina Na Mtaa Kwa Mtaa

jamaa mmoja ambae alikuwa na sifa ya kuwa mlevi kupitiliza,siku moja alikutana bingwa mwenzie lakini kwa upande wa uvutaji ile kitu inayokatazwa na serikali (bangi),walizungumza mambo mengi sana mpaka wakafikia kulizana maswali na katika maswali waliyoulizana moja wapo lilikuwa hili:-
Mlevi:Mtu wangu hivi India iko mbali?
mvuta bangi:Sidhani kama iko mbali maana pale ninakofanya kazi tuko na Mhindi mmoja na huwa anakuja kwa baiskeli kila siku!!!,lakini kama vipi ntamuuliza.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad