HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 27, 2009

bongo kila kitu dili

hizi chenji uzionazo hapa sio kama hazina dili,hizi ziko sokoni hapa na hapo ukiwa na buku ya noti unapata mia tisa ya chenji,na hivyo ndivyo jamaa wanapopata faida na kusongesha maisha mbele kama kawa.bongo raha jamani!!

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad