HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, April 18, 2009

huyu ndie mwenye jiji la Dar kwa sasa

Pichani ni Mkuu Mpya wa Mkoa wa Dar es Salaam Mh. William Lukuvi ambaye amechukua nafasi ya Mh.Abbas Kandoro ambaye amehamishiwa jijini Mwanza.zamani tulizoea kuliita jiji hili la Dar,jiji na Kandoro hivyo sasa hivi na huyu nae atafanibadili jina jiji hili na kufanya kuitwa jiji na nanihii.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad