HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, March 28, 2009

Mbilinge Mbilinge La Ajari Ya Mh.Chenge

chenge1Kamanda wa Trafiki Dar es salaam,Afande Mohamed Mpinga (shoto) na Naibu Mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai  Afande Peter Kivuyo (kati) na Mbunge wa Bariadi Mashariki Mh. Andrew Chenge wakielekea sehemu iliyotokea ajali ambapo gari alilokuwa akiendesha Mh. Chenge liligongana na Bajaji jana alfajiri na kusababisha vifo vya  abiria wawili wa Bajaji hiyo.chenge2Gari alilokuwa akiliendesha  Mh.Andrew Chenge,likiwa kituo cha Polisi Cha Osterbay.chenge3




Bajaji iliyogongana na gari la Mh. Chenge ikiwa katika kituo cha Polisi Osterbay

picha kutoka hapa na kwa habari kamili nenda hapa


 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad