HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, March 23, 2009

Huu Ndio Muonekano Wa Sasa Wa Hotel Mbili Zilizoteketea Kwa Moto Huko Bagamoyo

micwananchi wa mji wa Bagamoyo wakiangalia jinsi moto ulivyoteketeza hotel ya Paradise Resort leo huko Bagamoyo. michaya ni mabaki ya hotel ya Oceanic Bay iliyoteketea kwa pamoja na hotel ya Paradise huko Bagamoyo mchana wa leo.micbaadhi ya wapangaji waliokuwepo katika hotel hizo wakijiorodhesha majina yao mbele ya afisa wa jeshi la Polisi.micmabaki ya hotel ya Paradise Resortmickila kitu kimemalizika katika hoteli hizi,yaani inasikitisha kwelikwelimicgari la zima moto la faya likiwasili eneo la tukiao huku kila kitu kikiwa kimetekeketea kwa moto,ambapo chanzo chake inasemekana ni hitilafu ya umeme.micaskari wa kikosi cha zimamoto cha Faya,akimalizia kuzima (sijui niite majivu tu,maana kaja wakati moto ushazimika) leo huko Bagamoyomicmoja ya gari lililonusurika katika janga hilo la moto lililozikumba hotel ya Paradise Resort pamoja na Oceanic Bay huko Bagamoyo leo.kwa picha zaidi za tukio hili nenda katika wanja la mkuu Issa Michuzi kwa kubofya hapa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad