Wasanii kutoka nyumba ya vipaji ya THT wakiwaburudisha wakazi wa zenj waliojitokeza kwa wingi jana usiku kwenye tamasha la fiesta jirambe ndani ya uwanja wa Mao Tse-Tung uliopo michenzani
Berry Black akifanya vitu vyake
Msanii kutoka Mombasa -Kenya Nyota Ndogo akiwa na densa wake Zawadi wakitumbuiza kwenye tamasha fiesta jirambe ndani ya uwanja wa Mao Tse-Tung uliopo Michenzani visiwani Zanzibar.picha kutoka michuzijr.blogspot.com
No comments:
Post a Comment