HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, October 29, 2008

Wastaafu Wa E.A.C Wafunga Barabara Dar

wakiwa mawetanda barabara nzima
ndinga lenye maji ya upupu likiwa limesimama katikati ya barabara
hii ni asubuhi ya leo katika barabara ya Ally Hassan Mwinyi rodi,wakati walipoandamana baadhi ya wastaafu wa iliyokuwa Jumuiya ya Africa Mashariki wakitaka walipwe mafao yao.

kikosi cha kutuliza ghasia cha FFU,kikijarubu huwatawanya wastaafu hao waliovamia tena kituo cha Polisi cha sentro ambapo ndipo ilipo ofisi Kamanda wa Polisi Kanda Maalum,mara baada ya kusambaratishwa kule Salenda.huku kwambaali kule gari la maji yenye upupu likendelea na shughuli yake.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad