HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, October 26, 2008

Siku Moja Moja Sio Mbaya

kujimix siku moja moja sio mbaya,au vipi wadau.hapa niko na kaka Sadiki wa kijiji cha jamii FotoBaraza. tulipokutana jana katika kikao cha kuchangia mfuko wa Yatima wetu Toka kijiji hicho unaopatikana hapa na pia kama unataka kujiunga na kundi hilo waweza bofya hapa na moja kwa moja  utaweza kuwa mdau wa kijiji hicho.

1 comment:

  1. hizo pepsi ni uzugaji au kweli??? im sure maji machafu ndio yalikuwa yanatawala. heheee

    ReplyDelete

Post Bottom Ad