HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, October 17, 2008

Huduma Za Simu Za Blackberry Yazinduliwa Na Vodacom

 bosi wa masoko wa Vodacom Tanzania,Ephraim Mafuru akielezea kuhusu kuanzishwa kwa huduma ya blackberry iliyozinduliwa na kampuni hiyo usiku wa kuamkia leo hoteli ya Moevenpick, Dar
Naibu waziri wa mambo ya ndani Balozi Khamis Kagasheki akizungumza katika uzinduzi wa simu za mkononi za Black Berry zitakazouzwa na kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom uzinduzi ulifanyika katika Hotel ya Movenpick jijini jana 
wadau wa Vodacom wakionyesha simu aina ya blackberry walizozipata
 toka kampuni hiyobosi wa masoko wa Vodacom,Ephraim Mafuru akiwaeleza bosi wa Star tv Samuel Nyalla na bosi wa masoko wa Tbl David Minja kuhusu matumizi ya blackberry.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad