dereva wa guta akiwa kaulamba full suti ndani ya chombo chake cha kazi huku akiwa amepakia mizigo pamoja na abiria,halafu inaelekea hiyo guta itakuwa na kiyoyozi maana ni mchana wa jua kali huo.
Thursday, September 25, 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment