HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, September 9, 2008

Mtaji Wa Masikini ..........



Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe,picha hii inayoonyesha kijana aliyebeba furushi la makopo ya maji,anayokwenda kuuza kwa kupima kwa kilo,ambapo kilo moja inanunuliwa kati ya sh.250/= hadi 300/= .na vijana wengi wamejiingiza katika biashara kama hizi ili kuweza kujipatia kipato na kuendeleza maisha ya kila siku.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad