HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, August 1, 2008

Wanafunzi Waandamana Kupinga Ongezeko La Nauli


Baadhi ya wanafunzi wa shule mbalimbali za msingi na sekondari wameandamana leo kupinga ongezeko jipya la nauli ambapo awali walikuwa wakilipa sh 50 na kwa sasa wanatakiwa kulipi sh 100 ilianza rasmi leo Agosti 1. ahsante ya picha kwa Father Kidevu Blog.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad