HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, August 5, 2008

Paschal Mayalla Apata Ajari

Mwandishi wa siku nyingi na mtangazaji ambaye pia ni mjasiliamali ndugu Paschal Mayalla akiwa Hospitalini mkoani Dodoma baada kupata ajali na pikipiki yake alipokuwa akisafiri kwenda mkoani huko,Paschal amepata majereha sehemu mbalimbali za mwili ikiwa ni pamoja na mkono ambao umepoteza mawasiliano na sehemu nyingine za mwili.picha kwa hisani ya Mzee Wa Sumo Blog.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad