HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, July 19, 2008

Rais Kikwete Aendelea Na Ziara Yake Mkoani Tanga

Rais Jakaya Kikwete akipanda mti wa kumbukumbu katika zahanati ya Vuo,katika wilaya mpya ya Mkinga, muda mfupi baada ya kuifungua zahanati hiyo.Rais Kikwete yupo Mkoani Tanga kwa ziara ya kikazi kukagua na kuzindua shughuli mbalimbali za maendeleo.

1 comment:

Post Bottom Ad