HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, July 15, 2008

Mabomba Ya Zamani Inatakiwa Yabadilishwe

wafanyakazi wa mamlaka ya maji safi na maji taka Dar es salaam(DAWASCO),wakiwa katika ukarabati wa kubadirisha bomba lililopasuka na kusababisha baadhi ya wakazi wa maeneo ya mtaa wa zanaki na jirani na hapo kukosa maji kwa siku kadhaa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad