HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, July 16, 2008

Lady Jay Dee Na Will Smith

pichani ni wasanii Lady Jay Dee na Will Smith,wakipata picha ya pamoja walipokutana katika maadhimisho ya kumbukumbu ya kuzaliwa ya Rais wa zamani wa Africa Kusini Mzee Nelson Mandela,iliyofanyika mwezi uliopita nchini Uingereza.Jay Dee anasema sherehe ilie ya Mzee Madiba imempa mwangaza mzuri.unataka kujua ni mwangaza gani alioupata toka huko?
bonyeza HAPA ili ujue alichikivuna huko.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad