HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, July 31, 2008

Kidebe Sio Bongo Tu,Hata Huko Mbele Mbele Kipo

"Jana nimenasa "mdhungu" akiongeze kiwese baada ya mafuta ya mwanzo kutotoa ushirikiano(kuisha).Gari lilianza kustua stua kabla kuzima mitaa ya posta mpya(namaana kati kati ya jiji -keskustori).Baadaye suka alishuka na kufungua duka"boneti" alipoona hakuna wateja"tatizo" akaamua kutoa kidumu na kujaza wese!Kwa hakika binafsi katukio kalinistua ..kwani sikutegemea kukutana na tukio kama hilo.Habari ndiyo hiyo...."ni maneno ya aliyekutana na tukio hili huko Ufini ambaye si mwingine ni Nyanda nambari wani wa timu Tampere City ya huko Ufini kaka Edo Ndaki.shukrani sana mkuu kwa picha hii.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad