HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, July 22, 2008

Dr Asha-Rosi Migiro Atua Bongo

Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Dk. Asha Rose-Migiro, akiwa na wanafunzi wa shule ya msingi Mlimani Dar es Salaam jana, alipohudhulia sherehe za kukabidhana maktaba ndogo ndogo na za kisasa zilizogengwa katika mikoa ya pwani na Dar es Salaam chini ya mradi maalumu wa Mmoja wa Mataifa wa (UNWTO Step Foundation). picha na Mzee Wa Mshitu blog.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad