
Babu wa kijiji cha jamii
Fotobazara alipopata habari za kuanguka kwa ghorofa pale mtaa wa Kisutu, juma lililopita, akaona si vibaya kuwashauri wataalamu wetu wa ujenzi kuwa kama maghorofa yanawapa tabu kuyasimamisha basi tuishie kwenye geto kama hizi, hakuna atakayetuuliza kwani hakuna anayetudai. Unadhani Babu anawaza sawa? Bofya
hapa kutoa mchango wako.
No comments:
Post a Comment