
Waziri wa Fedha Balozi Khamis Mussa Omary Akizungumza katika Banda la Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) wakati alipotembelea banda hilo katika maonesho ya 50 ya Biashara Kimataifa yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam.
Kamishina wa Sensa ,Spika Mstaafu Anna Makinda akisaini Kitabu katika Banda la Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) wakati alipotembelea banda hilo katika maonesho ya 50 ya Biashara Kimataifa yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam.



No comments:
Post a Comment