Balozi
wa Kenya Nchini Tanzania Catherine Wahome akikata Keki iliyoandaliwa na
Wafanyakazi wa Ubalozi huo wakati alipowasili katika Ofisi ya Ubalozi
mara baada ya kukabidhi Hati ya Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya
Muungano Watanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan.
Balozi wa Kenya Nchini Tanzania Catherine Wahome akikabidhiwa Ua kwa ajili ya upendo wakati alipowasili katika Ofisi ya Ubalozi mara baada ya kukabidhi Hati ya Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Watanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan.

Balozi wa Kenya Nchini Tanzania Catherine Wahome akikabidhiwa Ua kwa ajili ya upendo wakati alipowasili katika Ofisi ya Ubalozi mara baada ya kukabidhi Hati ya Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Watanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan.
Balozi
wa Kenya Nchini Tanzania Catherine Wahome akiwa katika picha ya pamoja
baada ya baada ya kukabidhi Hati ya Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya
Muungano Watanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan.

.jpeg)
.jpeg)
No comments:
Post a Comment