WAFANYAKAZI Wanawake kutoka Kampuni ya Sukari Kilombero walikusanyika kusherehekea Siku ya Kimataifa ya Wanawake 2026 chini ya kauli mbiu “Give to Gain” Tukio hili lilijumuisha tafakuri za Uwezeshaji, kushirikishana maarifa, kutambua wafanyakazi walio hudumu muda mrefu na liliheshimiwa kwa uwepo wa Mkurugenzi wa Rasilimali Watu, Bi. Diana Mwakitwange, kama Mgeni Rasmi.
Wednesday, March 11, 2026
Home
HABARI
HABARI JAMII
Siku ya Kimataifa ya Wanawake 2026 yasherekewa kwa Kishindo- Kilombero Sugar
Siku ya Kimataifa ya Wanawake 2026 yasherekewa kwa Kishindo- Kilombero Sugar
Tags
# HABARI
# HABARI JAMII
HABARI JAMII
Labels:
HABARI,
HABARI JAMII
Subscribe to:
Post Comments (Atom)






No comments:
Post a Comment