HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, March 8, 2026

INEC WASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Wanawake kutoka Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Leo tarehe 08 Machi, 2026 wameshiriki katika maadhimisho ya siku wanawake duniani ambayo kimkoa yamefanyika katika uwanja wa shule ya msingi Mbande iliyopo katika halmashauri ya wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma.





No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad