Lengo la ugeni huo ni kukabidhi Tuzo ya shukrani kwa TADB kufanikisha na kuchagiza maendeleo ya biashara za kilimo mkoani iringa Na kuwezesha Mikopo yenye kusaidia ustawi wa kilimo cha chai, kahawa,parachichi na mahindi huko kilolo mkoani iringa.
Akipokea tuzo hiyo Bw. Nyabundege amewahakikishia kuwa benki yao itaendelea kutoa huduma za kifedha kwa wakulima na wafugaji katika mikoa yote na kuchagiza kilimo kuleta mtazamo wa kilimo biashara ambacho kinabenkika kwa maslahi ya ustawi wa wakulima na uchumi wa nchi.






No comments:
Post a Comment