HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, January 21, 2026

TANESCO yafanya wasilisho la taarifa ya TAASISI kwa kamati ya Bunge ya Nishati na Madini


Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, leo Januari 21, 2026 amewasilisha Taarifa ya Taasisi mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini jijini Dodoma.

Kamati hiyo ilipata fursa ya kujadili masuala mbalimbali yanayohusu sekta ya Nishati na utekelezaji wa Majukumu ya TANESCO


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad