HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, January 2, 2026

Makamu wa Rais Balozi Dkt.Nchimbi, Amtembelea na Kumjulia Hali, Makamu wa Rais Mstaafu Dkt. Mohamed Gharib Bilal

 MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amtembelea na kumjulia hali, Makamu wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohamed Gharib Bilal, katika makazi yake Masaki Jijini Dar es Salaam, leo tarehe 02 Januari 2026.



No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad