HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, November 12, 2025

MH.MARIAM IBRAHIM AAPA KUWATUMIKIA WANNCHI WA MKOA WA PWANI KIPINDI CHA 2025/2030

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mariam Ibrahim, ni miongoni mwa wabunge waliokula kiapo leo Novemba 12, 2025, katika ukumbi wa Bunge jijini Dodoma.

Mbunge huyo ameahidi kuwatumikia wananchi wa Mkoa wa Pwani kwa kipindi cha miaka mitano (2025–2030) kwa uadilifu, uaminifu na kujituma katika kusimamia maendeleo ya wananchi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad