HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, October 13, 2025

Dkt. Kikwete Aunguruma Visiwani, Awataka Wazanzibari Walinde Amani na Maendeleo

 Mwenyekiti wa CCM na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete leo Agosti 12, 2025 akihutubia wana-CCM na kuwaombea kura wagombea urais, uwakilishi, ubunge na udiwani wa chama hicho katika mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika uwanja wa Skys Masingini jimbo la Welezo wadi ya Mtofaani Shehia ya Hawaii wilaya Magharibi A mkoa wa mjini Magharibi uliohudhuriwa na mamia ya wananchi.

Mwenyekiti wa CCM na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete leo Agosti 12, 2025 akimnadi mgombea uwakilishi Mhe. Hassan Hafidh "Diaspora" baada ya kumkabidhi Ilani ya Chama katika mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika uwanja wa Skys Masingini jimbo la Welezo wadi ya Mtofaani Shehia ya Hawaii wilaya Magharibi A mkoa wa mjini Magharibi leo Agosti 12, 2025.
Mwenyekiti wa CCM na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete leo Agosti 12, 2025 akimnadi mgombea ubunge Bi. Asma Ali Hassan Mwinyi baada ya kumkabdihi ilani ya chama katika mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika uwanja wa Skys Masingini jimbo la Welezo wadi ya Mtofaani Shehia ya Hawaii wilaya Magharibi A mkoa wa mjini Magharibi leo Agosti 12, 2025.
Sehemu ya wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika uwanja wa Skys Masingini jimbo la Welezo wadi ya Mtofaani Shehia ya Hawaii wilaya Magharibi A mkoa wa mjini Magharibi leo Agosti 12, 2025.
Mwenyekiti wa CCM na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipata picha ya kumbukumbu na wagombea uwakilishi, ubunge na udiwani wa chama hicho baada ya mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika uwanja wa Skys Masingini jimbo la Welezo wadi ya Mtofaani Shehia ya Hawaii wilaya Magharibi A mkoa wa mjini Magharibi uliohudhuriwa na mamia ya wananchi.

Mwenyekiti wa CCM na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipata picha ya kumbukumbu na wananchi wenye ulemavu wana-CCM na wagombea uwakilishi, ubunge na udiwani wa chama hicho baada ya mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika uwanja wa Skys Masingini jimbo la Welezo wadi ya Mtofaani Shehia ya Hawaii wilaya Magharibi A mkoa wa mjini Magharibi uliohudhuriwa na mamia ya wananchi.



No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad