JE unajua kuwa siku ya leo unaweza ukabashiri na wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet na ukaibuka na kitita cha mkwanja?. Mechi kibao kuchezwa siku ya leo hivyo tengeneza jamvi lako la uhakika hapa.
EPL kule Uingereza itaendelea kwa mtanange mmoja wa kukata na shoka kati ya Leeds United vs West Ham United huku mara yao ya mwisho kukutana ikiwa ni 2023 na Wagonga Nyundo wa London waliondoka na ushindi. Mwenyeji yeye anataka kulipa kisasi. Lakini je mgeni atakubali?. Meridianbet wameipa mechi hii ODDS KUBWA sana hivyo ingia kwenye akaunti yako na ubashiri sasa.
Kule Hispania kutakuwa na mchezo mmoja wa LALIGA kati ya Real Sociedad vs Sevilla ambao mpaka sasa wana pointi 13 na wenyeji wao wakiwa na pointi 5. Mwenyeji anataka kulipa kisasi mechi hii baada ya kupoteza mechi ya mwisho walipokutana. Je pesa yako unaiweka kwa nani leo akupe maokoto ya maana?. Tandika jamvi lako hapa.
Pesa ipo kwenye michezo ya kasino ya mtandaoni kama vile Keno, Aviator, Poker, Roullette, Wild Icy Fruits, Super Heli na mingine kibao. Jiunge leo kwa kutembelea tovuti ya meridianbet.co.tz au piga *149*10# kisha uanze safari yako ya ushindi.
Vilevile kule Ujerumani BUNDESLIGA kitawaka vilivyo ambapo Werder Bremen atamleta kwake Union Berlin huku tofauti ya pointi kati yao ikiwa ni 3 pekee. Mwenyeji yupo nafasi ya 13 huku mgeni wake akiwa nafasi ya 7. Sare ndio ilipatikana mara ya mwisho kuonana. Je leo hii nani kushinda?. Bashiri hapa.
SERIE A kule Italia nako itaendelea ambapo vijana wa Allegri AC Milan watakuwa San Siro kukiwasha dhidi ya Pisa ambao ndio vibonde wa ligi hiyo. Milan wakiwa nyumbani wanahitaji ushindi mechi hii kujiweka sawa kwenye mbio za ubingwa wa Scudetto. Je nani kuondoka kifua mbele?. Tengeneza jamvi hapa.
Nayo LIGUE 1 kule Ufaransa kitawaka sana kati ya Paris FC dhidi ya Nantes ambao wapo nafasi ya 15 huku mwenyeji wake akiwa nafasi ya 8. Tofauti ya pointi kati yao ni 4 pekee. Meridianbet wao wanakwambia kuwa unaweza ukajipatia pesa pia kupitia mechi hii, hivyo ingia kwenye akaunti yako na ubeti kijanja.
Ligi daraja la kwanza Uingereza CHAMPIONSHIP pia kuna mechi moja kati ya Preston North End dhidi ya Sheffield United ambao wapo nafasi ya mwisho kwenye msimamo wa ligi. Mwenyeji yeye yupo nafasi ya 4. Kila timu inahitaji ushindi siku ya leo huku wewe ukiwa na nafasi ya kuibuka milionea. Jisajili sasa.
Kule Uturukia SUPER LIG pia kuna mechi moja ya kubashiri ambapo Fatih Karagumruk dhidi ya Kayserspor ambapo timu hizi zote zinafatana kwenye msimamo wa ligi. Mwenyeji ni wa 18 na mgeni wake wa 17. Je nani kuchukua pointi 3 za ushindi?. Bashiri sasa na Meridianbet


No comments:
Post a Comment