HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, August 5, 2025

LIWAKA AMGARAGAZA MASALA KURA ZA MAONI UBUNGE LA NACHINGWEA

 Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Fadhili Liwaka ameongoza kura 4703 za wajumbe jimbo la Nachingwea za kuomba ridhaa ya kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi ya Ubunge wa jimbo hilo.


Mpinzani wake mkubwa, Hassan Massala amefuatia kwa kuwa na kura 3307.

Jumla ya kura zote: 11978
Kura halali zilizopigwa: 9471

FADHILI ALLY LIWAKA 4703
HASSAN ELIAS MASALA - 3307
AMANDUSI CHINGUILE - 599
MAIMUNA PATHAN - 428
MOHAMEDI UNGELE - 338
ISSA MKALINGA - 116

Tofauti ya kura Kati ya LIWAKA na MASALA ni kura 1396.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad