HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, June 5, 2025

MAKAMU WA RAIS AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI JUNI 05,2025

 



  
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Viongozi mbalimbali wakati alipowasili katika Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete Dodoma kushiriki Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani tarehe 05 Juni 2025.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Bi. Joyce Mnunguli kuhusu Mfumo Jumuishi wa Taifa wa Usimamizi wa Mazingira (E-Mazingira) wakati akikagua mabanda ya maonesho katika Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yaliyofanyika Kitaifa katika Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete Dodoma tarehe 05 Juni 2025.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akitoa maelekezo mbalimbali kwa Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira wakati akikagua mabanda ya maonesho katika Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yaliyofanyika Kitaifa katika Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete Dodoma tarehe 05 Juni 2025.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisikiliza maelezo kutoka kwa Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu kutoka Wizara ya Nishati Mhandisi Innocent Luoga kuhusu matumizi ya magari yanayotumia umeme ili kulinda mazingira wakati akikagua mabanda ya maonesho katika Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yaliyofanyika Kitaifa katika Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete Dodoma tarehe 05 Juni 2025.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akishuhudia gari la usafi linalotumia umeme ili kulinda mazingira linalomilikiwa na Kampuni ya Suma JKT wakati akikagua mabanda katika Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yaliyofanyika Kitaifa katika Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete Dodoma tarehe 05 Juni 2025.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa na viongozi mbalimbali wakiwa katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete wakishiriki Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani tarehe  05 Juni 2025.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad