Aliyekuwa Naibu Katibu mkuu UWT Taifa Bi.Jesca Mbogo leo amechukua fomu ya kuwania ubunge wa viti maalumu mkoa wa Dodoma, Bi.Jesca amekabidhiwa fomu leo na katibu wa UWT Mkoa wa Dodoma Bi. Irimina Mushongi.
Sunday, June 29, 2025

Home
HABARI
HABARI KIJAMII
Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu UWT Taifa Jesca Mbogo ajitosa Viti Maalum, Dodoma
Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu UWT Taifa Jesca Mbogo ajitosa Viti Maalum, Dodoma
Tags
# HABARI
# HABARI KIJAMII
HABARI KIJAMII
Labels:
HABARI,
HABARI KIJAMII
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment