HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, May 13, 2025

WAZIRI LUKUVI NA VIONGOZI WENGINE KWENYE MAANDALIZI YA MISA YA KUAGA MWILI WA HAYATI DAVID MSUYA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Wiliam Lukuvi pamoja na viongozi mbalimbali katika maandalizi ya kushiriki ibada ya kumuombea na kuaga Mwili wa aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Cleopa David Msuya, leo Mei 13, 2025.

Ibada hiyo itafanyika katika Kanisa la KKKT Kristo Mchungaji Mwema; Dayosisi ya Mwanga, Jimbo la Kaskazini, Usharika wa Usangi Kivindu, Usangi, Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro.







No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad