HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, May 9, 2025

TANZANIA UAE KUSHIRIKIANA KUWEZESHA ELIMU KIDIJITALI NCHINI

Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia imesaini makubalino na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ya kushirikiana katika Teknolojia ya Shule Kidijitali.

Makubaliano hayo yamesainiwa tarehe 8 Mei Jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu Prof. Carolyne Nombo na Dkt Waleed Ali Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Shule Kidijitali ya UAE.

Utiaji saini makubaliabo hayo umeshuhudiwa na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda na Balozi wa UAE Nchini Balozi Khalifa Abdulrahman Mohamed Abdulrahman Al Marzouqi 




No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad