Mhe.Rwebangira ametembelea na kukagua kituo cha Ujenzi kilichopo katika Kata ya Itewe, Ofisi ya Kata Chokaa, Ofisi ya Mtendaji kata ya Matundasi, Ofisi ya Mtendaji Kata ya Makongolosi na Kituo cha Shule ya Sekondari Viwanja.
Aidha Mhe.Rwebangira ameendelea kutoa wito wa wananchi wa Mkoa wa Mbeya Kufika katika vituo vya kujiandikisha ili kuboresha taarifa zao kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Pamoja na kuhakiki taarifa zkwenye Daftari la Awali la Wapiga Kura ambalo limebandikwa katika kila kituo.







No comments:
Post a Comment