Mkurugenzi Mtendaji wa Geita Gold Mining Limited [GGML],Duran Archery amesema rushwa ni tishio kubwa kwa ukuaji wa uchumi na utawala wa kidemokrasia duniani kote ambapo Mgodi huo kwa kushirikiana na Takukuru watafanya mikutano 28 ngazi ya vijiji na mitaa pamoja na vikundui vya uhamasishaji kupitia redio ili kuhakikisha ujumbe unawafikia watu wa makundi yote katika jamii.
Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Geita,James Ruge amesema lengo la taasisi hiyo ni kudhibiti rushwa na kusisitiza kuwa taasisi hiyo itashirikiana na wadau mbalimbali.
Kauli mbiu ya warsha ya mwaka huu ni 'Kuzuia Rusha ni Jukumu Langu la Lako - Tutimize wajibu wetu
No comments:
Post a Comment