HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, May 13, 2025

Meridianbet Inakupatia Mpunga wa Maana Leo

 

NI Jumanne tulivu kabisa ya wewe kuondoka na kitita cha maana ndani ya wakali wa ubashiri ambapo mechi kibao leo hii Duniani kuendelea. Tengeneza jamvi lako la ushindi hapa na ushindie sasa.

Ligi kuu ya Hispania maarufu kama LALIGA leo hii kuna mitanange ya maana itaendelea ambapo Girona baada ya kupoteza mechi yake iliyopita, leo hii atakuwa ugenini kusaka ushindi dhidi ya Real Valadollid ambao ndio vibonde wa ligi hadi sasa. Meridianbet wamempa mgeni nafasi kubwa ya kuondoka na ushindi kwa ODDS 1.77 kwa 4.60. Bashiri hapa.

Wakati kwa upande Real Sociedad yeye ataumana vikali dhidi ya RC Celta Vigo ambapo tofauti yao ikiwa ni 6 pekee. Mwenyeji yupo nafasi ya 12 na mgeni wake nafasi ya 7. Mara ya mwisho kuonana timu hizi mbili, mgeni aliondoka na ushindi huku leo hii mwenyeji akitaka kulipa kisasi. Meridianbet wameipa mechi hii ODDS 2.45 kwa 3.05. Suka jamvi lako hapa.

Piga pesa na Meridianbet ambapo mechi za ushindi zipo kibao leo. Pia cheza michezo ya Kasino ya mtandaoni kama vile, Aviator, Keno, Poker, Roullette, Keno, na mingine kibao.

Sevilla atakuwa uso kwa uso dhidi ya UD Las Palmas ambao mechi iliyopita wametoka kupoteza. Mwenyeji yeye pia amepigika mechi iliyopita hivyo pointi 3 za leo ni muhimu sana kwa wote hawa. Je nani kuibuka na ushindi leo hii?. Bashiri mechi hii yenye ODDS 1.73 kwa 5.20. Jisajili hapa.

Ligi ya Misri, PREMIER LEAGUE itaendelea nayo kwa michezo kadhaa Al Ahly atakuwa ugenini leo dhidi ya Ceramica Cleopatra ambao wanashika nafasi ya 6 huku wageni wao wakiwa nafasi ya 1 kileleni huku nafasi ya ushindi akipewa Ahly kwa ODDS 1.55 kwa 5.40. Tengeneza jamvi hapa.

Pharco wao watakichapa dhidi ya AL Masry huku mara ya mwisho kukutana, mwenyeji alipoteza. Leo hii anahitaji kulipa kisasi huku wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet wao wakimpa nafasi ya ushindi Masry kwa ODDS 2.19 kwa 3.65. Je beti yako unaiweka wapi hapa?. Jisajili hapa.

Na mechi kali leo hii pale Misri ni hii ya El Zamalek dhidi ya Pyramids ambapo tofauti yao ni pointi 6 pekee. Timu hizi zinafatana kwenye msimamo wa ligi ambapo mwenyeji yupo nafasi ya 3 na mgeni wake nafasi ya 2. Mechi hii imepewa ODDS 2.75 kwa 2.55. Suka jamvi hapa.

Mechi nyingine ni kati ya Haras EL Hodood vs National Bank of Egypt ambao wapo nafasi ya 5 na pointi zao 35 huku mwenyeji yeye akiwa na pointi zake 22. Pesa yako unaiweka wapi kwenye hizi timu 2?. Bashiri mechi hii yenye ODDS 5.40 kwa 1.68.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad