Katika Mazungumzo hayo Waziri Mchengerwa amempongeza Bw. Belete kwa ushirikiano wake na juhudu za ufuatiliaji kujua namna Serikali inavyoendelea kujiandaa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huo unaotarajiwa kuanza hivi karibuni mara baada ya taratibu, vigezo, mashariti na matakwa yote yaliyoelekezwa katika utekelezaji wa mradi huo yatakapokamilika.



No comments:
Post a Comment