HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, April 29, 2025

Huduma ya ushauri kutoka kwa mtalaamu wa magonjwa ya figo na upandikizaji kutoka MEMORIAL HOSPITAL UTURUKI

 Usikose fursa hii ya kipekee! Hospitali hii maarufu kutoka Uturuki inaleta mtaalamu hapa jijini Dar es Salaam kwa ushauri wa afya ya figo na masuala ya upandikizaji figo!


Njoo upate uchunguzi wa afya ya figo zako, uulize maswali, na ujifunze zaidi kutoka kwa wataalamu wa kimataifa.

Okoa muda na pesa – njoo uzungumze na mtaalamu wa figo moja kwa moja! Watakuwepo tarehe 2-3 mwezi Mei, hapa DOCTORS PLAZA MOROCCO

Kwa mawasiliano tupigie simu kwa namba: 0710 344 341 au 0683 074 130

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad