HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, March 3, 2025

Rais Dkt. Samia afuturisha Watoto Yatima na Watoto wenye mahitaji Maalum, Ikulu Jijini Dar es Salaam

 









Watoto yatima pamoja na watoto wenye mahitaji maalum wakiwa kwenye Iftar iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Ikulu Jijini Dar es Salaam 03 Machi, 2025.



 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwapakulia Iftar watoto yatima pamoja na watoto wenye mahitaji maalum Ikulu Jijini Dar es Salaam 03 Machi, 2025.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad