HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, January 12, 2025

WAZIRI DKT. CHANA ATETA NA UWT LUDEWA

Waziri wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Njombe Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana, Januari 11 2025 ameshiriki katika Baraza la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Ludewa ambapo katika baraza hilo amechangia fedha kiasi cha shilingi mililioni 6 kwaajili ya kuwezesha shughuli mbalimbali za UWT Ludewa ikiwemo ujenzi wa nyumba ya mtumishi wa UWT Ludewa.




No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad