Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Stanbic Tanzania, Bw. Manzi Rwegasira (kushoto), akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Bw. Abdulmajid Nsekela (kulia), wakati wa Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika 'Mission 300' uliomalizika hivi karibuni katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere, Dar es Salaam. Katikati ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Geita Gold Refinery, Bi. Sara Masasi.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Stanbic Tanzania, Bw. Manzi Rwegasira (wa tatu kutoka kulia), akihudhuria Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika 'Mission 300' uliomalizika hivi karibuni katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Friday, January 31, 2025

Home
HABARI
Benki ya Stanbic Tanzania yaahidi kuendelea kusaidia maendeleo ya sekta ya nishati nchini
Benki ya Stanbic Tanzania yaahidi kuendelea kusaidia maendeleo ya sekta ya nishati nchini
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment