HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, December 7, 2024

NAIBU MRAJISI MKUU AMEVITAKA VYAMA VYA USHIRIKA KUJIKITA KATIKA MATUMIZI YA TEHAMA

Naibu Mrajis Udhibiti wa Vyama Vya Ushirika, Udhibitil, Collins Nyakunga mwenye mkasi wakishangilia mara baada ya kuzindua mfumo wa kieletroniki w huduma za kibenki wakati wa mkutano wa mwaka wa TRA Saccos iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo Desmba 07, 2024.
Naibu Mrajis Udhibiti wa Vyama Vya Ushirika, Udhibitil, Collins akizungumza na waandidhi wa habari jijini Dar es Salaam leo Desemba 07, 2024 mara baada ya kuzindua mfumo wa Kieletroni wa huduma za kibenki ambao upapatikana nchi zima


Naibu Mrajis Udhibiti wa Vyama Vya Ushirika, Udhibitil, Collins wapili kutoka kudhoto wakionesha kadi za umoja zitakazowasaidia kutoa pesa nchini.
Mwenyekiti wa TRA Saccos, Pili Marwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Desemba 07, 2024 wakati wa Mkutano Mkuu wa TRA Saccos ambapo wamezindua Mfumo wa Kieletroni wa huduma za kibenki.
Mjumbe wa Bodi ya TRA SACCOS Ltd, Upendo Kunanga, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Desemba 07, 2024 wakati wa Mkutano Mkuu wa TRA Saccos ambapo wamezindua Mfumo wa Kieletroni wa huduma za kibenki.
Mjumbe wa bodi ya TRA Saccos, Joel Lema akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Desemba 07, 2024 wakati wa Mkutano Mkuu wa TRA Saccos ambapo wamezindua Mfumo wa Kieletroni wa huduma za kibenki.

Wanachama wa TRA Saccos wakiwa katika Mkutano mkuu unaofanyika leo na Kesho jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad