TPDC imechangia fedha hizo kwenye hafla ya uchangishaji fedha kusaidia watoto 1500 wenye matatizo ya moyo.
Mgeni rasmi katika hafla hiyo ni Rais Mstaafu wa awamu ya nne Mhe. Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete.
Tukio hilo limefanyika jana tarehe 02.11.2024 , Johari Rotana Jijini Dar es salaam.





No comments:
Post a Comment