Mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) Mhe. Rais Ruto amepokelewa na Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi.
Mkutano huo wa Wakuu wa Nchi umetanguliwa na Kikao cha Ngazi ya Juu kuadhimisha miaka 25 ya Jumuiya ya Afrika Mashariki yenye kaulimbiu isemayo "Miaka 25 ya EAC: Tafakari ya tulikotoka na matarajio ya tunapokwenda"



No comments:
Post a Comment