Ombi hilo amelitoa leo Septemba 29,2024 katika harambee ya ujenzi wa kanisa la KKT Kigezi-Chanika Jijini Dar es Salaam.
Aidha amesema waumini wa kanisa wanaweza pia kuomba nafasi za uongozi,kwa lengo la kupata viongozi wenye hofu ya mungu ili kuleta maendeleo bora na ustawi wa jamii.
Pamoja na hayo amesema jukumu la uraia linajumuisha kuchagua na kuchaguliwa kuwa viongozi kwa ajili ya wananchi wote ambapo upatikanaji wa huduma ya shule, zahanati na mengine yanahusiana na uwepo wa viongozi wanaopatikana kupitia chaguzi.




No comments:
Post a Comment