Waratibu wa Mkoa na Ufuatiliaji wa Magonjwa toka Mikoa 26 walikutana mkoani Iringa kwa lengo la kufanya mapitio ya utekelezaji wa shughuli za IDSR nchini ili kuweza kubaini na kutatua changamoto katika utoaji wa taarifa za Ufuatiliaji na kudhibiti Magonjwa nchini

No comments:
Post a Comment